Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Kabisa mkuuMpinzani wa kweli ni Mbowe tu
Kabisa mkuuMpinzani wa kweli ni Mbowe tu
Etii!! Tena washukuru mungu mkoa wa wapinzani kapewa mpinzani mwenzao hivi binadamu huwa wanataka nini wajame! Yeehhh!!Mlitaka mama afe njaa??
Mama chapa kazi mwenye NJAA hana MIIKO!
angalao yeye hana vyeti vyenye utata kama bashite.Eeeeh ndio habari hiyo ameshakuwa.
angalao yeye hana vyeti vyenye utata kama bashite.
hahahahaaaaaaaa!Uliyemtaja simfahamu.
Usilazimishe mambo nawe, hivi hata vitu vya wazi kama hivi ni lazima watu wabishane? RC au DC ni mjumbe wa kawaida ktk vikao hivyo wala si kiongozi wa vikao.Kamati ya siasa ya mkoa haiwezi kukaa bila kuwepo kwa mkuu wa mkoa. Itabidi akubali uanachama ili aweze kuhudhuria vikao vya mkoa.
Umeshaambiwa ambaye ni mwanachama wa ccm, asiye mwanachama si mjumbe, kutafsiri hili hadi uwe msomi wa diploma jamani?Hiyo maana umeitoa wapi au umeamua kutafsiri unavyoona inafaa? Maana lazima kungekua na kifungu kinachofafanua kama ikitokea vinginevyo
Ni wap wamesema haiwezi kukaa bila RC kuwepo ?Kamati ya siasa ya mkoa haiwezi kukaa bila kuwepo kwa mkuu wa mkoa. Itabidi akubali uanachama ili aweze kuhudhuria vikao vya mkoa.
Kwahyo kura za Ukawa plus za ACT Lowasa angeshinda sivyo?Ni wa kwao,, ACT ilianzishwa na pesa za CCM kupunguza kura za UKAWA sasa wanarudi kindini
Kweli upinzani ni kupinga kitu mpk kielewekeMpinzani wa kweli ni Mbowe tu
Naionea huruma nchi yangu, sijui tuna uwezo kiasi gani cha uwezo wa kufikiria vichwani.Mkuu wa Mkoa AMBAYE ni Mwanachama wa CCM.
Mghwira ni mwanachama wa CCM?
Kama Dr slaaMgwira ni CCM toka muda mrefu lakini walijificha ACT..njaa mbaya sana bado Zito kuwa Mwepesi, Siku zote magari yenye matairi vipara kumaliza safari ni kazi
Ulitaka apewe urais?Kwanza ni dharau tu, mtu kagombea uraisi wa nchi leo unampa mkuu wa mkoa!!!!!