- Thread starter
- #41
There is no permanent situation, zama zinatofautiana sana! Fedha za ESCROW hazitatosha kuwanunua Mawakala wa Uchaguzi this time ...
Well said
There is no permanent situation, zama zinatofautiana sana! Fedha za ESCROW hazitatosha kuwanunua Mawakala wa Uchaguzi this time ...
hahahahahahha -
Wasira namfahamu kama mwanasiasa hodari sana, he knows how to play this game, na hasa kwa Bunda mnakazi sana,unajua huwezi shindana na mtu ambaye anafikiria kuwa Rais. Kama nipo kwenye level ya kubeba fedha kwenye gunia how tena Wasira anilishe? Ila nyie team Esta mshaurini mwenzenu akae kimkakati,ila kwa mwendo kama wako hata Mimi naweza mshinda Esta
Huyu jamaa vicenti baba yake anaitwa kiboko lakini hajawahi kutaja jina la baba yake sijui anasumbuliwa na nini.
Hongera UKAWA kwa kuwaweka wananchi kwenye umoja.
Siku zote mikutano ya chadema watu nyomi.kura zikihesabiwa aibu
Usikurupuke,nimesema anayefikiria kuwa Rais! Hivyo huwezi kulinganisha vision ya urais na Ubunge,in a matter of fact Esta ni mdogo kwa namna yoyote ile ukimringanisha na WasiraDuh wassira awe raisi?labda ya vihiyo na wezi wa matairi ya gari serikalini na si wa watanzania tunaojielewa
niambie watakaojiandisha ni wangapi na wakaopiga kura ni wangapi? Je kwa nini ushindi haukupatikana kwa hao 2000? Unataka niamini daftari likiwa zuri halafu wapiga kura wasikupe kura utashinda?Tumia akili kufikiri,usilinganishe uchaguzi ambao wapiga kura waliopo kwenye daftari walikuwa 8000 lakini waliopiga kura ni 2000 tu! Kwa sasa watu wamejiandikisha na ccm lazima iangukie pua!
Ulikuwa Bunda meaneo gani?Nadhani unaongozwa na hisia au huishi bunda.nilikuwepo majuzi tu,na kwa taarifa yako huyo mzee wa gombe hana chake bunda.
Ester kujipendekeza Chadema kutamponza. Halima Mdee anamdanganya sana
Usikurupuke,nimesema anayefikiria kuwa Rais! Hivyo huwezi kulinganisha vision ya urais na Ubunge,in a matter of fact Esta ni mdogo kwa namna yoyote ile ukimringanisha na Wasira
Usikurupuke,nimesema anayefikiria kuwa Rais! Hivyo huwezi kulinganisha vision ya urais na Ubunge,in a matter of fact Esta ni mdogo kwa namna yoyote ile ukimringanisha na Wasira
Siku zote mikutano ya chadema watu nyomi.kura zikihesabiwa aibu
Ulikuwa Bunda meaneo gani?
Tatizo sio wingi wa watakaopiga kura bali ni wizi wa hao majizi yanayovaa Kijani yakishirikiana na Policcm na Tume rojo ya uchaguzi! na sasa hicho kitongoji kinachoitwa Tamisemi (chini ya Pinda) ndio wale wale...!
Mfano juzi takwimu zilionyesha mara tu baada ya kumalizika zoezi la kuandikisha wapiga kura, kuwa waliojiandikisha kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa ilikuwa ni kama 45% yaani pungufu ya 50% ila taarifa iliyotolewa jana na TAMISEMI (baada ya kupika wapiga kura maruhani), wametangaza eti waliojiandikisha wanazidi asilimia 60% ...nyang'au!
Hizo asilimia 15%+ ni za maruhani!
Je mfano kama CCM awali ingepata 30% ya waliojiandikisha, na Upinzani 15% (ambapo inafahamika 55% hawakujiandikisha), hapo utagundua kuwa baada ya kujitafutia 15% za maruhani, CCM (30% + 15%) = 45%) na Upinzani inabakia na ile ile 15% na kwa kuwa wataiba tena za Upinzani zaidi ya 5% CCM (30+15+5)% = 50% na Upinzani wanabakia na 10%! Hivyo (cumulatively) kunao uwezekano wa majizi hayo kupata 'ushindi wa wizi' wa asilimia zaidi ya 70% na Upinzani kupata pungufu ya 30%...ila majibu ya yote ni kuwa MAJIZI hayo yanajiibia hata yenyewe, sembuse kuibia wengine?!
Sasa wewe unaishi musoma bunda unakuja mara moja kwa wiki kukusanya habari mambo ya bunda utayajulia wapi?we fanya kazi yako ya uandishi siasa ya kutumikia vibaka wa ccm kama wassira hutaweza na kwa bahati mbaya musoma ccm mmeshatandikwa na bunda pia mnatandikwa