denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,143
- Thread starter
- #21
Hebu wacha maswali yako ya kitoto, kwani Hai iko mbinguni?!Mbowe na mwanawe wanaishi Dar es salaam ndiko makazi yao yalipo wanaenda kuwaamulia watu wa moshi mjini na hai wawachague wao wakazi wa dar es salaam kuwa wabunge wao!!! kwani Moshi mjini na Hai hakuna permanent residents wanaoishi kule muda wote hadi wa import wagombea Mbowe na Mwanawe toka Dar es salaam washike ubunge?