Mwenyekiti wa CHADEMA Arumeru Magharibi ahamia ACT

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,895
Kisa adai hakuna demokrasia na uongozi


================

 
Lema amewageuza wanachadema arusha mandondocha
 
Ni kugawana mbao tu, watu wamechoka umwinyi na umimi
 
Tatizo ni ubabe wa Lema. Mwanachama yoyote wa chadema akipinga mawazo ya Lema anapigwa kitofali
 
Mbona watu mnaenda kama kuku aliyekatwa kichwa ? Huyo Mwenyekiti anaitwa nani ni wa ngazi gani .......
 
chadema arusha wameanza kujitambua,, Wamechoka kufanywa misukule na lema
 
Kupitia star tv taarifa saa mbili wamemuonyesha jamaa mmoja anaitwa Erenest sheshe kwamba alikuwa m/kiti wa CDM arumeru magharibu na amejuzuru nafasi za uongozi na kujiunga na act.

Cha kushangaza kuna kadi alikuwa ameweka mfukoni kama 7 hivi alipofika mezani akazitoa. ukiziangalia zile kadi ni mpya kabisa. alikuwa anawaonyesha waandishii wa habari na hakusema chochote kuhusu zile kadi na alikuwa mwenyewe na waandishi wa habari. sasa najiuliza yeye mwenyewe ndio amehama lakini ana kadi mpya za kuonyesha waandishi wa habari.

Kitu ambacho hakiingii akilini amesema walikuwa na malalamiko kwa viongozi lakini hajasema tatizo hata moja.

Jaman nilikuwa nasikia kuna wanaume jina leo nimeanza kuamini,yaani mwanaume unampa mwanaume mwenzio akili zako akutunzie. hawa wamekuwa kama nzi hawana utashi.
Mimi nawashauri act waache propaganda. Ukiacha ofisi huondoki na nyaraka ulizokabidhiwa sasa huyu anaondoka na nyaraka za ofisi

ACT mtuambie mna wanachama kutoka ccm wangapi? hizo bilion mlizopewa bora mngewape hata walemavu
 
Sio lema ni sera ya mbowe hiyo maana lema awapiga arusha mbowe anawapiga ndani ya kamati kuu kama alivyompiga shabani mambo wa kigoma
 
Umbea huo hakuna mwenyekiti wa chadema ameamia act huyo huyu sheshe ni kapurwa wa awaida msaka tonge wala si mwenyekiti mwenyekiti ni mh gibson meseyeki sasa mtu kushindwa kwenywe uchaguzi uhamie chama kingine ana uroo wa adaraka huyo boya

Huyo Sheshe alitumwa na Lowassa aje agombee uenyekiti wa chadema, alipopigwa chini baada ya kupata namba ya kiatu karudi nyumbani CCM kupitia wakala wao ACT
 
Chadema inasikitisha, nguzo yao iliyobaki ni UKAWA tu, na siku wakimkorofisha Lipumba basi wamekwisha!
 
Kuna tofauti ya asili ya mtu na anako ishi na Hiyo ni katiba yako unaleta hapa, lowasa nae mbona yupo monduli na wakati siyo kwao? Au katiba ishabadilishwa kuwa kila mtu agombee anakotokea?@laki si pesa
 
Habari za leo naomba nijibu hoja za uongo uliozushwa eti mwenyekiti chadema kuhamia ACT si kweli ni uwongo mwenyekiti wetu wa wilaya Arumeru magharibi mh Gibson ndiye mwenyekiti mteule huyo kapi msaka tonge anaitwa sheshe mamluki ccm b waliopandikiza baada ya kugombania uwenyekiti akapata kura 8 mh Gibson akapata kura 113 akaenda ACT shauri ya kukosa cheo hatuwaitaji watu wa hovyo CHADEMA huyo ni mrohoo wa madaraka msaka tonge

Huyo hana mpya CHADEMA ni kazi kazi mamluki stop chadema hii ndiyo tumaini la watanzania hatuna nafasi ya wasaka tonge humu nampa pole huyu limbukeni wa siasa kuwa chadema ni kazi kazi tu huku mamluki stop alikuwa pandikizi alileta makundi ndani ya chama wananchi wakamchinjia baharini msaliti huyo hivi mwana chadema wa ukweli ukose cheo uhamie chama kingine kinaingia akili wadau jamani huyo mi snich r.i.p sheshe kisiasa umepotea kwenye medali ya kisiasa kalime huna mpya chadema ndiyo tumaini la watanzani act ni kikundi cha wasaliti aluta contunua
 
Taka taka lile na ACT kinatafuta uadui na chadema watu wakigundua kinawahujumu chadema badala ya mambo hayo kufanywa na ccm basi wasishangae siku wakipigwa mawe

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nimeamini tatizo la ccm ni Chadema na sio umaskini wa watanzania.
 
Chadema inasikitisha, nguzo yao iliyobaki ni UKAWA tu, na siku wakimkorofisha Lipumba basi wamekwisha!
Chuo cha ngapi bibie ........huyo Mwenyekiti ni wa Arusha ipi? Usikurupuke bana , wantia fedheha miye .......
 
Fikiria kwanza unachojadili na utajijibu vizuri mwenyewe@pesa si laki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…