Mwenyekiti wa CHADEMA alala Mkutanoni

Mwenyekiti wa CHADEMA alala Mkutanoni

MOTOCHINI,..angalia hiyo video clip hapo chini...kuna watu kibao walikuwa wanauchapa usingizi wakati wa hotuba ya Magufuli...mimi kwa haraka nimemuona Spika wa bunge Job Ndugai akisinzia[dakika 25 - 30].https://www.youtube.com/watch?v=_B4ORnG6aRk HAMY-D, lancashire, MsemaUkweli, bornagain, Lizaboni
Kwanza JokaKuu huwa nawashangaa watu hasa upande wa CDM kuwa kulala ni ajenda kubwa ktk mikutano, kwani tatizo nini! kama kulala nijambo la kidina dam kama mchoko fulani tena si kila siku ama kila wakati, uwe CDM au CCM kulala haihusishi chama, Mlikuwa mkimpamba LOWASSA saana wakati mkifaham kiafya nibora hata hao wanao lala, Na si kuwa tunamsema Lowassa kwakuwa tu kajiunga na CDM rahasha huyu amekuwa na mjadala wa kiafya tangu yupo CCM, wakati huu nikuangalia kazi za mtu yaani MATENDO YAKE KTK JAMII
 
Last edited by a moderator:
Wapi kwenye habari yako panapoonyesha kuwa CHADEMA imemkingia kifua? Ndugu,uwe unaelewa kwanza habari yako kabla ya kuileta hapa. Bure kabisa!

mkuu kuna sehemu nilikusoma wewe sio mwanachadema lakini nashangaa hapa povu linachuruzika
 
Hii picha ni ya kutengenezwa, Maani ninaona wengine wote walio katika huo mkutano wamevaa sare za chama lakini jamaa pekee ndio amevaa nguo za kawaida. Halafu jinsi anavyoonekana ni kama vile hana mikono. Hii ni picha ya kuunga unga.
 
Back
Top Bottom