Mwenyekiti wa CHADEMA alala Mkutanoni

Mwenyekiti wa CHADEMA alala Mkutanoni

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,830
WanaJF,

Kwa kipindi kirefu tu CHADEMA walikuwa wanamkebehi mzee Wassira kwa tabia yake ya kulala Bungeni, lakini wakati huo huo CHADEMA inawakingia vifua viongozi wa chama chao wanao kutwa wakiwa wamelala fofofo kwenye mikutano ya chama chao.

Mtazame mwenyewe huyu kiongozi wa ngazi ya juu kabisa CHADEMA, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa na mjumbe wa baraza kuu taifa, akiwa amelala fofofo mkutanoni wakati hotuba iliyopooza ya Mbowe ikiwa inasomwa!

FB_IMG_1448347846345.jpg
 
..usisahau na Spika wa Bunge Job Ndugai aliyekuwa akisinzia wakati wa hotuba ya Raisi.

..hawa watu labda ni WAGONJWA hivyo tuwe na subira ktk kuwalaumu.
 
Korea kasikazini tungekuwa hatunaye huyu.

Ajichunge mwaka huu si rahisi hata kidogo kwa wapinzani. Wanaweza tafuta hoja ya kufukuza mtu!!
 
Wapi kwenye habari yako panapoonyesha kuwa CHADEMA imemkingia kifua? Ndugu,uwe unaelewa kwanza habari yako kabla ya kuileta hapa. Bure kabisa!
 
..usisahau na Spika wa Bunge Job Ndugai aliyekuwa akisinzia wakati wa hotuba ya Raisi.

..hawa watu labda ni WAGONJWA hivyo tuwe na subira ktk kuwalaumu.

..Weka ushahidi hapa (picha) hatutaki maneno ya kwenye khanga.
 
Makamanda wakija watakwambia kuwa Kamanda wao alikuwa ana tafakari jinsi ya kuchukua nchi wakiongozwa na Kamanda Lowasa...
 
Korea kasikazini tungekuwa hatunaye huyu.

Ajichunge mwaka huu si rahisi hata kidogo kwa wapinzani. Wanaweza tafuta hoja ya kufukuza mtu!!
Mbowe anaweza kuona hiyo picha wakasema huyo jamaa alisinzia kwenye kujumlisha matokeo ya Urais hivyo akachangia waibiwe kura hivyo wanamvua unachama kamanda!
 
Mbowe anaweza kuona hiyo picha wakasema huyo jamaa alisinzia kwenye kujumlisha matokeo ya Urais hivyo akachangia waibiwe kura hivyo wanamvua unachama kamanda!

Hahahaha😅😅😅😅😂😂😂
 
Korea kasikazini tungekuwa hatunaye huyu.

Ajichunge mwaka huu si rahisi hata kidogo kwa wapinzani. Wanaweza tafuta hoja ya kufukuza mtu!!

hahahahahahaaaaaaaa........ umenifulahisha sana leo, Angesambatishwa na la kuweka begani. dah! jamaa wale hatalisana kwenye ulimwengu huu! hahahaha.
 
Kwenye huo mkutano kulikuwa na mamluki nn? Nan alimpiga picha na kwa lengo gan?
 
Back
Top Bottom