WanaJF,
Kwa kipindi kirefu tu CHADEMA walikuwa wanamkebehi mzee Wassira kwa tabia yake ya kulala Bungeni, lakini wakati huo huo CHADEMA inawakingia vifua viongozi wa chama chao wanao kutwa wakiwa wamelala fofofo kwenye mikutano ya chama chao.
Mtazame mwenyewe huyu kiongozi wa ngazi ya juu kabisa CHADEMA, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa na mjumbe wa baraza kuu taifa, akiwa amelala fofofo mkutanoni wakati hotuba iliyopooza ya Mbowe ikiwa inasomwa!
Kwa kipindi kirefu tu CHADEMA walikuwa wanamkebehi mzee Wassira kwa tabia yake ya kulala Bungeni, lakini wakati huo huo CHADEMA inawakingia vifua viongozi wa chama chao wanao kutwa wakiwa wamelala fofofo kwenye mikutano ya chama chao.
Mtazame mwenyewe huyu kiongozi wa ngazi ya juu kabisa CHADEMA, Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa na mjumbe wa baraza kuu taifa, akiwa amelala fofofo mkutanoni wakati hotuba iliyopooza ya Mbowe ikiwa inasomwa!