lyinga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 2,494
- 1,057
JK katumwa kuja kuiuwa CCM
Kife mara ngapi?
JK katumwa kuja kuiuwa CCM
Katika watu wanaotia aibu wewe huwezi kukosekana jk kaongea mamno ya msingi na yenye mashiko na kuifungua jamii kwa kiasi kikubwa hasa kwa kutoa elimu ya uraia kwa wale ambao walikuwa hawajui undani wake.
Kama ulivyo wewe na Dalali Reginald Mengijk na wewe wote ni sawa
Ndo maana unajiita kigodoro kwa vile hoja zako umezipata kwenye kigodoroCCM imeuawa na Kikwete kitambo sana. Yafuatayo yamefanywa na Kikwete kuiangamiza ccm:-
1. Kudandia hoja ya upinzani ya uundwaji wa katiba mpya.
2. Kuyakana maoni ya wananchi juu ya katiba wanayoitaka.
3. Kumteua Nape kuwa katibu mwenezi wa ccm taifa.
4. Kuendekeza urafiki na uanamtandao katika uteuzi wa viongozi mbalimbali
5. Kuwawajibisha watu wachapa kazi kama Kagasheki kwa kuwa tu amedhibiti maslahi haramu ya marafiki zake
6. Kuogopa kuchukua hatua/maamuzi kwa masuala muhimu ya nchi kama rais. Siku zote anasubiri watu wasemeee mpaka basi ndo anakuja kutoa maamuzi tena laini.
7. Kupingana na chama chake ama watendaji wakuu wa chama chake hadharani. Mifano ipo mingi sana nitataja 2 tu.
(a) CCM haikutaka katiba mpya, JK kalazimisha na alikiri hili alipokuwa anakabidhiwa katiba pendekezwa a.k.a katiba ya fisadi Chenge.
(b) Katibu mkuu ccm taifa na katibu wa itikadi na uenezi walizunguka nchi nzima na kuwanadi maziri 6 kuwa ni mizigo na wakamshauri JK awawajibishe. JK aligoma.
(Naomba na ninyi wasomaji kama una la kuongezea hapa fanya hivyo).
Sasa kwa maelezo haya unataka uone nini zaidi kujua kwamba huyu ni Golberchiev wa CCM?
ktk hili Kikwete unastahili pongezi kubwa. ukawa iko haja ya kumpatia zawadi profesa zawadi ya Xmas na ny
Labda hizo takwimu umepewa kitandani.Uchaguzi wa SM ulioshirikisha Wananchi Matokeo--
Ccm 47%
Ukawa 53%
Mapingamizi 33%
Ccm Halali ni 47% + 33% = 80%
Ukawa 53% - 33% ongezeko la Mapingamizi ccm = 20%.
Je kulipowekwa Vikwazo ccm wangeshinda kwa 100% kama wananchi wangepewa fursa?
Nakubaliana na wewe. Hawa ukawa wanajidanganya sana na siasa zao za matukioCCM inazidi kuimarika
hesabu za mjingaWatu wengi walitegemea kutakaswa kwa chama hicho kupitia hotuba ya mwenyekiti Jana. Baada ya hotuba yake jana, ni dhahiri kuwa mtuhumiwa namba moja wa mauaji ya chama cha mapinduzi ni mwenyekiti wa chama hicho.
Wakati chama kikizidi kupoteza mvuto mbele ya macho ya watanzania, hakuna juhudi za makusudi kukinusuru chama hicho. Hotuba ya mwenyekit wa CCM kwa wazee wa Dar es salaam ilikuwa nafasi adimu na pekee ya kukiinua chama na kurejesha mvuto kwa watanzania. Kilichotokea jana, mwenyekiti, kuamua kupiga danadana kwa namna tofauti kwenye skendali ya Escrow. Kusema Mhongo anawekwa kiporo ni kukiangamiza chama. Kushindwa kumwajibisha Maswi moja kwa moja ni kukiua chama. Mbaya zaidi, ni pale alipomwajibisha Tibaijuka ambaye ni mnufaika wa mbali sana katika skendali hii.
CCM kama chama itasema nini mbele ya watanzania?. Kwanini chama kikose mvuto kwajili ya watu wawili?. Nani mwenye ujasiri wa kuinadi CCm mbele ya watanzania wa leo baada ya hotuba ya jana?.
Majasiri wa kuinadi na kuisifia ccm hata baada ya hotuba ya JMK wako watatu: Kinana, Nape, na Mwigulu Nchemba.Tena Nchemba atazunguka nchi nzima akitumia chopa.Watu wengi walitegemea kutakaswa kwa chama hicho kupitia hotuba ya mwenyekiti Jana. Baada ya hotuba yake jana, ni dhahiri kuwa mtuhumiwa namba moja wa mauaji ya chama cha mapinduzi ni mwenyekiti wa chama hicho.
Wakati chama kikizidi kupoteza mvuto mbele ya macho ya watanzania, hakuna juhudi za makusudi kukinusuru chama hicho. Hotuba ya mwenyekit wa CCM kwa wazee wa Dar es salaam ilikuwa nafasi adimu na pekee ya kukiinua chama na kurejesha mvuto kwa watanzania. Kilichotokea jana, mwenyekiti, kuamua kupiga danadana kwa namna tofauti kwenye skendali ya Escrow. Kusema Mhongo anawekwa kiporo ni kukiangamiza chama. Kushindwa kumwajibisha Maswi moja kwa moja ni kukiua chama. Mbaya zaidi, ni pale alipomwajibisha Tibaijuka ambaye ni mnufaika wa mbali sana katika skendali hii.
CCM kama chama itasema nini mbele ya watanzania?. Kwanini chama kikose mvuto kwajili ya watu wawili?. Nani mwenye ujasiri wa kuinadi CCm mbele ya watanzania wa leo baada ya hotuba ya jana?.
acheni akiue si atakuwa anarahisisha kazi
na hiyo 47% waliyopata wamefanya fujo vituo vingine ukawa wameshinda wasimamizi mbele ya polisi wakatangaza ccm wameshinda.Jumlisha na hayo mapingamizi hawajafikisha 80%, achana nao na data zao za uongo hao.
Ukweli ni kwamba, asilimia 90% ya hotuba ya rais ilikuwa kukanusha uongo na uzushi wa PAC, IPP na mawakala wao kwamba fedha "zilizokwapuliwa" ni Tshs. bilion 306; kwamba fedha za umma ziliibwa; na nchi imetapeliwa. Pesa ya ESCROW haizidi billion 200 - PERIOD! Na fedha hii ni malipo ya IPTL kwa kutoa huduma ya umeme kwa TANESCO/taifa. Asilimia 10% ya hotuba ilikuwa maneno ya siasa ya kunusuru CCM na kumfurahisha fisadi Mengi kwa kumtoa kafara Tibaijuka na kumtisha Muhongo. CCM haiwezi kufa kwa kuegemea uongo na uzushi kama alivyobainisha Rais wetu kwa kutumia ripoti za CAG na common sense!
Maamuzi ya Muhongo yalitokana ya ushauri wa Mwanasheria Mkuu na Hukumu ya Mahakama - hii ni katika misingi ya Utawala wa Sheria. Mlitaka taifa liendelee kulipa mabilioni kwa Mkono na riba kwa kesi zisizoisha? Hivi kuna ubaya gani kwa Muhongo kufanikisha upatikanaji wa umeme wa bei poa kutoka IPTL na kunusuru malipo ya zaidi ya billion 100 ambazo bado IPTL wandeendelea kuidai TANESCO kwa mujibu wa mkataba?
Mwisho kioja kikuu cha jana ni kuona washangiliaji wote baada ya Tibaijuka kuenguliwa pale Diamond Hall ni wanawake. Je? walikuwa wanashangilia kwa kuangushwa mwanamke mwenzao? Au kwa kujua kwamba fedha alizolipwa Tibaijuka ni kwa ajili ya elimu ya watoto wa kike? Mungu Ibariki Tanzania.