Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,135
- 2,471
Nanukuu
"Wameanza kutuchokoza, Kuandika kwenye vigazeti kuwa Samia hata gombea, nani kasema."
Hapa nadhani mwenyekiti ameteleza maana gazeti lililo andika habari hii ni gazeti la Uhuru linalo milikiwa na Chama cha Mapinduzi. Kuliita gazeti hili kigazeti ni kosa kubwa sana.
Ila kama ndiyo ameamua hivyo sawa.
Anajua hakua cha kufanya na hakuna wa kumuhoji ..... Nguvu yake ndni ya chama kama mwenyekiti na nguvu yake serikalini kama Rais ... hakuna wa kufurukuta. Na Mwendazake alishatujengea precedence ya namna ya kuwhandle the OUTLIERS ....!!Nanukuu
"Wameanza kutuchokoza, Kuandika kwenye vigazeti kuwa Samia hata gombea, nani kasema."
Hapa nadhani mwenyekiti ameteleza maana gazeti lililo andika habari hii ni gazeti la Uhuru linalo milikiwa na Chama cha Mapinduzi. Kuliita gazeti hili kigazeti ni kosa kubwa sana.
Ila kama ndiyo ameamua hivyo sawa.
Wapige kura za kutokuwa na imani naye. Gazeti letu la chama kubwa kuitwa kijigazeti?!🤤Nanukuu
"Wameanza kutuchokoza, Kuandika kwenye vigazeti kuwa Samia hata gombea, nani kasema."
Hapa nadhani mwenyekiti ameteleza maana gazeti lililo andika habari hii ni gazeti la Uhuru linalo milikiwa na Chama cha Mapinduzi. Kuliita gazeti hili kigazeti ni kosa kubwa sana.
Ila kama ndiyo ameamua hivyo sawa.
Kinachoniuma mimi ni kuongozwa na raia wa nchi nyingine, sipendi kabisa, poa tu ya wakubwa tuwaachie wenyeweNdiyo ameshasema 2025 ni yeye,na baada ya kulidhibiti Sukuma Gang kwa msaada wa Msoga Gang sasa ni amri moja tu toka Makunduchi, asiyetaka ahamie Burundi. Ameshatuona wanaume wote wa nchi hii ni maboya. Hii ndiyo injili mpya toka Chifu mkuu Hangaya.
Kauli zake ni kama kuna vita kati ya wanaume na wanawake...kwa kweli bi mkubwa kajaa kiburi mno kwa sasa.Ndiyo ameshasema 2025 ni yeye,na baada ya kulidhibiti Sukuma Gang kwa msaada wa Msoga Gang sasa ni amri moja tu toka Makunduchi, asiyetaka ahamie Burundi. Ameshatuona wanaume wote wa nchi hii ni maboya. Hii ndiyo injili mpya toka Chifu mkuu Hangaya.
Kaskazini nao wanasoma bakora zakeSafi sanaa mama nyoosha hao vinabo wa sukuma gang
Na wewe andika hayo positive tuyaone mkuuKwa hiyo katika hotuba yake yote umeona neno VIGAZETI tu? Mengine yote umeyasahau?
hata angesema Mgazeti Mkubwa bado ungemkosoa tu.
Mengi aliyoongea ni mazuri kuliko mabaya unayoyatafuta kwa tochi.
tujitahidi kuangalia yale ambayo ni positive.
Hajakosea inawezekana hawa nguvu ya kuwacontrol ndani ya chama. Yaani nyumba imefitinika ni mnyukano kwa kwenda mbeleNanukuu
"Wameanza kutuchokoza, Kuandika kwenye vigazeti kuwa Samia hata gombea, nani kasema."
Hapa nadhani mwenyekiti ameteleza maana gazeti lililo andika habari hii ni gazeti la Uhuru linalo milikiwa na Chama cha Mapinduzi. Kuliita gazeti hili kigazeti ni kosa kubwa sana.
Ila kama ndiyo ameamua hivyo sawa.
Mmezoea kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.... safari hii mtakula mafi yenu nyau nyie...Nanukuu
"Wameanza kutuchokoza, Kuandika kwenye vigazeti kuwa Samia hata gombea, nani kasema."
Hapa nadhani mwenyekiti ameteleza maana gazeti lililo andika habari hii ni gazeti la Uhuru linalo milikiwa na Chama cha Mapinduzi. Kuliita gazeti hili kigazeti ni kosa kubwa sana.
Ila kama ndiyo ameamua hivyo sawa.
Kuna gangs ngapi nchi Hii?Safi sanaa mama nyoosha hao vinabo wa sukuma gang
Halafu naona wapambe wanamdaganya Mama kuwa anakubalika. Wanapotoka mnooo.Nanukuu
"Wameanza kutuchokoza, Kuandika kwenye vigazeti kuwa Samia hata gombea, nani kasema."
Hapa nadhani mwenyekiti ameteleza maana gazeti lililoandika habari hii ni gazeti la Uhuru linalomilikiwa na Chama cha Mapinduzi. Kuliita gazeti hili kigazeti ni kosa kubwa sana.
Ila kama ndiyo ameamua hivyo sawa.
Ndio ukweli huo kwani si ni kigazeti?Nanukuu
"Wameanza kutuchokoza, Kuandika kwenye vigazeti kuwa Samia hata gombea, nani kasema."
Hapa nadhani mwenyekiti ameteleza maana gazeti lililoandika habari hii ni gazeti la Uhuru linalomilikiwa na Chama cha Mapinduzi. Kuliita gazeti hili kigazeti ni kosa kubwa sana.
Ila kama ndiyo ameamua hivyo sawa.
Ni vigumu kama hawajamwamulia. Siku zote hakuna mkate mgumu mbele ya chai.aisee mtu akiishashikilia ikulu kumuangusha ni ngumu sana, wawe wapole tu
2025 ndio tutajua kama ana nguvu au mwepesi uzito wa unyoya. 2015 Kikwete alikuwa rais na mwenyekiti wa chama tawala lakini akashindwa kumpitisha chaguo lake...... Nguvu yake ndni ya chama kama mwenyekiti na nguvu yake serikalini kama Rais ...