Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,135
- 2,470
Kwa hiyo katika hotuba yake yote umeona neno VIGAZETI tu? Mengine yote umeyasahau?
hata angesema Mgazeti Mkubwa bado ungemkosoa tu.
Mengi aliyoongea ni mazuri kuliko mabaya unayoyatafuta kwa tochi.
tujitahidi kuangalia yale ambayo ni positive.
hata angesema Mgazeti Mkubwa bado ungemkosoa tu.
Mengi aliyoongea ni mazuri kuliko mabaya unayoyatafuta kwa tochi.
tujitahidi kuangalia yale ambayo ni positive.