Mwenyekiti Wa Jumuiya ya Umoja Wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi Ccm Taifa Na Mjumbe Wa Kamati Kuu ya Ccm Taifa Ndg Mohamerd Kawaida Amesema Kuwa Chama cha Mapinduzi Kitaleta Wagombea Ambao wanauzika kwa Wananchi Ili Chama Hicho Kiweze Kushinda Kwa Kishindo Katika Uchaguzi Mkuu Ambao Unatarajia Kufanyika Mwaka Huu
Mwenyekiti Wa Uvccm Taifa Ameyasema Hayo Katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya Ccm Mkoa Wa Kagera Kilichofanyika Katika Ukumbi Wa Chama cha Mapinduzi Mkoani Humo,Kawaida Wakati anazungumza na Wajumbe Wa Halmashauri Kuu ya Ccm Mkoa Amesema Kuwa Chama cha Mapinduzi Kitaleta wagombea ambao wanauzika kwa Wananchi Ili waweze Kushinda kwa Kishindo.
“Katika Chama Chetu tunakubaliana,Tunapanga,Tunaratibu Mambo Yote Kupitia Vikao kwa Hiyo unapofika Mda Wa Vikao tunaitana kwa Ajili ya Kufanya maamuzi ya Pamoja na tukaondoka na uelewa Wa Pamoja Ili kuleta wagombea Wetu Ambao wanauzika kwa Wananchi”Amesema Kawaida Mwenyekiti Wa Uvccm Taifa
Chanzo: Channel Ten
Mwenyekiti Wa Uvccm Taifa Ameyasema Hayo Katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya Ccm Mkoa Wa Kagera Kilichofanyika Katika Ukumbi Wa Chama cha Mapinduzi Mkoani Humo,Kawaida Wakati anazungumza na Wajumbe Wa Halmashauri Kuu ya Ccm Mkoa Amesema Kuwa Chama cha Mapinduzi Kitaleta wagombea ambao wanauzika kwa Wananchi Ili waweze Kushinda kwa Kishindo.
“Katika Chama Chetu tunakubaliana,Tunapanga,Tunaratibu Mambo Yote Kupitia Vikao kwa Hiyo unapofika Mda Wa Vikao tunaitana kwa Ajili ya Kufanya maamuzi ya Pamoja na tukaondoka na uelewa Wa Pamoja Ili kuleta wagombea Wetu Ambao wanauzika kwa Wananchi”Amesema Kawaida Mwenyekiti Wa Uvccm Taifa
Chanzo: Channel Ten