mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Hizo kauli ndio Huwa zinasababisha upungufu wa wapigakura. Mwisho wa siku watajikuta makamanda na makada tu kwenye foreni ya kura huku wananchi wanawaangalia tu. Bora umeomba radhi.
. Mimi mmojawapo wa alionikera tena sana. Eti hatuna la kuwafanya sisi tulionyimwa maendeleo. Jimbo langu ni la Upinzani ila tuko wanaCCM ambao kura zetu hazikutosha. Why tuteseke kwa umaskini wakati hatuna kosa Bali wengi wape? Hata hivyo tumetambua kwa nini jimbo la Kawe barabara ni mbovu.
"Nachukua nafasi hii kuwaomba Radhi Watanzania Wenzangu wote walio kerwa na ujumbe huo,na ninawashukuru viongozi wote wa kisiasa na kiraia walio nikosoa na kunikemea kwa maslahi mapana ya Taifa letu,ninawashukuru sana" Kheri James Mwenyekiti UVCCM Taifa
View attachment 822683
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kheri James ametengua kauli yake inayosema ‘CCM ndiyo inayoamua maendeleo yaje au yasije na hakuna mwananchi anayeweza kuchukua hatua yoyote dhidi ya chama hicho’.
Akimnadi mgombea wa udiwani Kata ya Bagara, mkoani Manyara, Nicodemus Tlaghasi James alisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwenye maeneo yanayoongozwa na upinzani.
James alitoa kauli hiyo wiki iliyopita katika mtaa wa Mpya wilayani Babati akisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwa wananchi waliochagua viongozi wa upinzani badala ya CCM.
Akizungumza leo Julai 30, 2018 na Mwananchi James amesema amefikia uamuzi huo baada ya kupokea simu za kumkemea na kumuonya juu ya kauli hiyo.
“Anayepokea sentensi hiyo, hawezi kujua mwanzo ulisema nini na mwisho ulisema nini, nimeamua kufanya kitu cha kiungwana kwamba ilimradi kilichopokelewa kwenye jamii ni kibaya, tumeamua kuomba radhi bila kujali mwanzoni na mwisho nilisema nini,” amesema James.
Chanzo: Mwananchi
"Nachukua nafasi hii kuwaomba Radhi Watanzania Wenzangu wote walio kerwa na ujumbe huo,na ninawashukuru viongozi wote wa kisiasa na kiraia walio nikosoa na kunikemea kwa maslahi mapana ya Taifa letu,ninawashukuru sana" Kheri James Mwenyekiti UVCCM Taifa
View attachment 822683
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kheri James ametengua kauli yake inayosema ‘CCM ndiyo inayoamua maendeleo yaje au yasije na hakuna mwananchi anayeweza kuchukua hatua yoyote dhidi ya chama hicho’.
Akimnadi mgombea wa udiwani Kata ya Bagara, mkoani Manyara, Nicodemus Tlaghasi James alisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwenye maeneo yanayoongozwa na upinzani.
James alitoa kauli hiyo wiki iliyopita katika mtaa wa Mpya wilayani Babati akisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwa wananchi waliochagua viongozi wa upinzani badala ya CCM.
Akizungumza leo Julai 30, 2018 na Mwananchi James amesema amefikia uamuzi huo baada ya kupokea simu za kumkemea na kumuonya juu ya kauli hiyo.
“Anayepokea sentensi hiyo, hawezi kujua mwanzo ulisema nini na mwisho ulisema nini, nimeamua kufanya kitu cha kiungwana kwamba ilimradi kilichopokelewa kwenye jamii ni kibaya, tumeamua kuomba radhi bila kujali mwanzoni na mwisho nilisema nini,” amesema James.
Chanzo: Mwananchi
Mbona nchi nzima hali ni mbaya tu bila kujali upinzani 2020 ccm itarudisha majimbo yote kinguvu tuone ka tutapiga maendeleo wanayotaka. Mimi mmojawapo wa alionikera tena sana. Eti hatuna la kuwafanya sisi tulionyimwa maendeleo. Jimbo langu ni la Upinzani ila tuko wanaCCM ambao kura zetu hazikutosha. Why tuteseke kwa umaskini wakati hatuna kosa Bali wengi wape? Hata hivyo tumetambua kwa nini jimbo la Kawe barabara ni mbovu.
Nyani Ngabu ndiye Nyani.... Jiwe...sijuiHii ni hadithi ya Nyani na Jiwe!
Katika pita pita zake baada ya kushiba mema ya nchi hata kuvimbiwa kwa kula kile ambacho hakukilima au kikipanda akaamua apumzike juu ya Jiwe (mwamba) na hata kuujambia!
Kwa kuwa mwamba ulikuwa umepata joto kutokana na shida ya jua kali, uliamua kumuunguza NYANI matako yake na hata kubabuka!
Nyani akaruka kwa kuungua kule, ...akaondoka zake huku akitoa maneno ya kashfa kwa JIWE, ..."pamoja kwamba umeniunguza, nimekujambia"
Kati ya haya nani ni Nyani na Nani ni Jiwe?
Ameshasema, ameshaleta madhara hawezi kuponyesha nafsi zilizoraruliwa kwa kauli yake!...anaenda zake huku akisema "amekemewa kwa kauli yake"
unakunya kabisaSura yake tu muda wote ipo kama ya MTU anaekata gogo...
Anakunya sorryunakunya kabisa
"Nachukua nafasi hii kuwaomba Radhi Watanzania Wenzangu wote walio kerwa na ujumbe huo,na ninawashukuru viongozi wote wa kisiasa na kiraia walio nikosoa na kunikemea kwa maslahi mapana ya Taifa letu,ninawashukuru sana" Kheri James Mwenyekiti UVCCM Taifa
View attachment 822683
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kheri James ametengua kauli yake inayosema ‘CCM ndiyo inayoamua maendeleo yaje au yasije na hakuna mwananchi anayeweza kuchukua hatua yoyote dhidi ya chama hicho’.
Akimnadi mgombea wa udiwani Kata ya Bagara, mkoani Manyara, Nicodemus Tlaghasi James alisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwenye maeneo yanayoongozwa na upinzani.
James alitoa kauli hiyo wiki iliyopita katika mtaa wa Mpya wilayani Babati akisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwa wananchi waliochagua viongozi wa upinzani badala ya CCM.
Akizungumza leo Julai 30, 2018 na Mwananchi James amesema amefikia uamuzi huo baada ya kupokea simu za kumkemea na kumuonya juu ya kauli hiyo.
“Anayepokea sentensi hiyo, hawezi kujua mwanzo ulisema nini na mwisho ulisema nini, nimeamua kufanya kitu cha kiungwana kwamba ilimradi kilichopokelewa kwenye jamii ni kibaya, tumeamua kuomba radhi bila kujali mwanzoni na mwisho nilisema nini,” amesema James.
Chanzo: Mwananchi
Nadhani kila Jimbo kutakuwa na maji 24hrs, hospitals zenye madaktari, dawa na vifaa tiba, shule nzuri kama za private ya Feza, lami hadi vitongoji, Machinga watamiliki Super markets na mama Ntilie 5star hotel. Ajira kwa kila Mhitimu wa Chuo, list ya maendeleo kila Jimbo 2020 yaendelea.Mbona nchi nzima hali ni mbaya tu bila kujali upinzani 2020 ccm itarudisha majimbo yote kinguvu tuone ka tutapiga maendeleo wanayotaka
Yote poa. Ndivyo imani yake inamuongoza hadi U DC