johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,947
Mwenyekiti mstaafu wa ACT-Wazalendo na kundi kubwa la wafuasi wake wameachana na chama hicho na kuhamia Nccr mageuzi kwa James Mbatia.
Hili ni pigo kubwa kwa Zitto kama ilivyokuwa kwa Mbowe na Chadema baada ya kuondokewa na Dr Mashinji.
Chanzo: Star tv habari!
Pia soma
> Aliyekuwa Mwenyekiti ACT Wazalendo abwaga manyanga - JamiiForums
> Maganja: Zitto hafai kuwa Rais, akipewa nchi atauza hadi watu wake - JamiiForums
Hili ni pigo kubwa kwa Zitto kama ilivyokuwa kwa Mbowe na Chadema baada ya kuondokewa na Dr Mashinji.
Chanzo: Star tv habari!
Pia soma
> Aliyekuwa Mwenyekiti ACT Wazalendo abwaga manyanga - JamiiForums
> Maganja: Zitto hafai kuwa Rais, akipewa nchi atauza hadi watu wake - JamiiForums