Mwenyekiti mstaafu wa ACT-Wazalendo, Yeremiah Maganja na wafuasi wake wahamia NCCR Mageuzi

Mwenyekiti mstaafu wa ACT-Wazalendo na kundi kubwa la wafuasi wake wameachana na chama hicho na kuhamia Nccr mageuzi kwa James Mbatia.

Hili ni pigo kubwa kwa Zitto kama ilivyokuwa kwa Mbowe na Chadema baada ya kuondokewa na Dr Mashinji.

Chanzo: Star tv habari!

Pia soma
> Aliyekuwa Mwenyekiti ACT Wazalendo abwaga manyanga - JamiiForums

> Maganja: Zitto hafai kuwa Rais, akipewa nchi atauza hadi watu wake - JamiiForums

Kutagatanga tu. Uzee huu anahangaika na nini? anadhani Mbatia atampa mfuko wa pesa? Labda amgawie zile nafasi za majimbo 20 aliyoahidiwa na jiwe. ... nako atakumbana na wagombea wengine... kama anadhani yatatokea ya serikali za mitaa, asahau kabisa.
 
Hicho chama hakina ushawishi hata serikali inakipa ruzuku Ml 2 tu kila mwezi lakin ccm wanapewa Ml 900 na CDM mil 300+
Ukisikia siasa za "ki-saccos" ndo hizi; kuangalia "ukubwa wa mfuko" wa chama badala ya malengo, sera na itikadi zake.
 
Mwenyekiti mstaafu wa ACT-Wazalendo na kundi kubwa la wafuasi wake wameachana na chama hicho na kuhamia Nccr mageuzi kwa James Mbatia.

Hili ni pigo kubwa kwa Zitto kama ilivyokuwa kwa Mbowe na Chadema baada ya kuondokewa na Dr Mashinji.

Chanzo: Star tv habari!

Pia soma
> Aliyekuwa Mwenyekiti ACT Wazalendo abwaga manyanga - JamiiForums

> Maganja: Zitto hafai kuwa Rais, akipewa nchi atauza hadi watu wake - JamiiForums

Kundi kubwa...ha ha ha

Naona mpango wa CCM unakwenda vzr so far....
 
Phase 2 is underway, watch out - Give power to powerless.

Phase1 was, break the unit and take the power from CDM.

Its old school tactics, you can't fool the modern world like this. Its time to hire smart heads for your tasks but remember Tanzania is bigger than CCM and vice versa is untrue.
 
Back
Top Bottom