Godfrey Nkoko
Member
- May 1, 2017
- 19
- 31
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Iramba mkoani Singida, Simon Tyosela amesema hatua hiyo itasaidia kwa kiasi kikubwa kuinua ukusanyaji mapato ya Halmashauri mbalimbali
-
Alitoa ushauri huo, kutokana na kauli ya Mkuu wa Mkoa, Dkt. Rehema Nchimbi aliyoitoa wakati wa Kikao Maalumu cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa(RCC) kuwa madada poa na machangudoa wote mjini hapo watakamatwa
-
Tyosela alieleza “Niseme sikubaliani kamwe na suala la ushoga. Lakini hili la machangudoa nashauri lirasimishwe ili Serikali iweze kujipatia mapato. Iwapo watashindwa kulipa kodi, basi watakuwa wamejiondoa kwa hiyari yao wenyewe."
-
Hata hivyo, Meya wa Manispaa ya Singida, Gwae Mbua alipinga ushauri huo kwa madai kuwa hatua hiyo itadhalilisha Taifa kwani wanaojiuza ni ndugu zetu, dada zetu na watoto wetu.
-
Alitoa ushauri huo, kutokana na kauli ya Mkuu wa Mkoa, Dkt. Rehema Nchimbi aliyoitoa wakati wa Kikao Maalumu cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa(RCC) kuwa madada poa na machangudoa wote mjini hapo watakamatwa
-
Tyosela alieleza “Niseme sikubaliani kamwe na suala la ushoga. Lakini hili la machangudoa nashauri lirasimishwe ili Serikali iweze kujipatia mapato. Iwapo watashindwa kulipa kodi, basi watakuwa wamejiondoa kwa hiyari yao wenyewe."
-
Hata hivyo, Meya wa Manispaa ya Singida, Gwae Mbua alipinga ushauri huo kwa madai kuwa hatua hiyo itadhalilisha Taifa kwani wanaojiuza ni ndugu zetu, dada zetu na watoto wetu.