hana lolote huyo, namchukia sana kwa kitendo chake na wapuuzi wenzake kumtelekeza tata Bob makani alivyougua.Baada ya kufa ndio wakaja na ngonjera nyingi! Jana alikuwa akitaja mara kwa mara jina la makani akidhani wasukuma hatujui uhuni wao, hatudanganyiki na 2015 mtaisoma namba, manyang'au nyie