Mwenyekiti BAWACHA ametengwa?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
9,265
Reaction score
14,172
Kila mkutano wa Chadema na wageni mbali mbali namuona Mwenyekiti wa wazee bi Kiwanga, mwenyekiti wa vijana Mahinya, katibu mkuu, Heche na Golugwa.

Jee mwenyekiti wa BAWACHA bi Shariffa ametengwa rasmi?

Mbona haonekani katika ugeni mbali mbali unaokutana na uongozi wa CHADEMA?
 
Wewe ukishashiba nguruwe lazima ulete usumbufu wenye mrengo wa kidini.
 
Waislamu ni wapuuzi kuwashirikisha kwenye mambo ya uzalendo ni kuingiza virus
 
Mpeleke mamayenu kutoka ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…