Kasunguranyama
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 498
- 365
Wadau niende kwenye mada. Naomba nisaidiwe kujua CV ya Kulwa Biteko ili nimfahamu vizuri huyu mbunge wangu wa Busanda ajae kwa kasi
Dotto na Kulwa Biteko
Dotto na Kulwa Biteko
Kwani yule dada lorensia bukwimba hatagombea mwaka huuWadau niende kwenye mada. Naomba nisaidiwe kujua CV ya Kulwa Biteko ili nimfahamu vizuri huyu mbunge wangu wa Busanda ajae kwa kasi
Apumzike tunataka nguvu mpyaKwani yule dada lorensia bukwimba hatagombea mwaka huu
Kulwa tuvusheApumzike tunataka nguvu mpya
Hawavushe wapi? Weka CV yake hapa?Kulwa tuvushe
Umekurupuka naona. Soma uzi unataka nini.Hawavushe wapi? Weka CV yake hapa?
Mh wapwa tena!! Sie tunataka mbunge mwenye kujenga hoja mkuu. Bukwimba licha ya kuwa na madiwani wengi toka Busanda katka Geita council alizidiwa kete na Msukuma hospital ya wilaya ikajengwa nzera. Tunamshukuru JPM katuonea huruma na sie katupa hospital yenye hadhi ya wilaya. We need Biteko perhaps can do somethingNaona wapwa zake Magufuli wameamua kweli awamu hii ya mjomba wao. Imebaki miaka mitano. Watumie muda vizuri.
Duuuh, hii batu ni from Rwanda kbs sawa na mjomba wao...Wadau niende kwenye mada. Naomba nisaidiwe kujua CV ya Kulwa Biteko ili nimfahamu vizuri huyu mbunge wangu wa Busanda ajae kwa kasi
View attachment 1482725
Dotto na Kulwa Biteko
Ninamfahamu , ni mchapa kazi na ni muungwana sana. Atalisaidia jimbo kusonga mbeleWadau niende kwenye mada. Naomba nisaidiwe kujua CV ya Kulwa Biteko ili nimfahamu vizuri huyu mbunge wangu wa Busanda ajae kwa kasi
View attachment 1482725
Dotto na Kulwa Biteko
Waziri ni Doto hapa tunamzungumzia KulwaBITEKO NO MOJA YA MAWAZIRI WACHAPA KAZI NA ASIE NA MAKUU NA WATU, MIMI NAMUOMBEA MEMA SANA
Haya majamaa kumbe ni identical twins? Safi sana, kwani ubunge nao unahitaji CV? Mbona ka Musukuma hakana CV lakini ni ka Bunge?Wadau niende kwenye mada. Naomba nisaidiwe kujua CV ya Kulwa Biteko ili nimfahamu vizuri huyu mbunge wangu wa Busanda ajae kwa kasi
View attachment 1482725
Dotto na Kulwa Biteko