Mwenye wasifu wa Kulwa Biteko

Kasunguranyama

JF-Expert Member
Feb 12, 2020
498
365
Wadau niende kwenye mada. Naomba nisaidiwe kujua CV ya Kulwa Biteko ili nimfahamu vizuri huyu mbunge wangu wa Busanda ajae kwa kasi

Biteko.jpg

Dotto na Kulwa Biteko​
 
Naona wapwa zake Magufuli wameamua kweli awamu hii ya mjomba wao. Imebaki miaka mitano. Watumie muda vizuri.
 
Naona wapwa zake Magufuli wameamua kweli awamu hii ya mjomba wao. Imebaki miaka mitano. Watumie muda vizuri.
Mh wapwa tena!! Sie tunataka mbunge mwenye kujenga hoja mkuu. Bukwimba licha ya kuwa na madiwani wengi toka Busanda katka Geita council alizidiwa kete na Msukuma hospital ya wilaya ikajengwa nzera. Tunamshukuru JPM katuonea huruma na sie katupa hospital yenye hadhi ya wilaya. We need Biteko perhaps can do something
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom