Mwenye utaalamu wa internet

Mwenye utaalamu wa internet

bonem

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2015
Posts
235
Reaction score
55
kwenye hii simu yangu napata shida kuhusu internet. nikitaka kutumia internet kwa line ya voda inakubali. nikiswitch kwenda halotel airtel inagoma kabisa. simu inatumia line mbili na kuna wakati nataka kutumia line flani kwa internet inagoma. Msaada wanajukwaa
 
kuhusu internet. nikitaka kutumia
internet kwa line ya voda inakubali.
nikiswitch kwenda halotel airtel inagoma
kabisa. simu inatumia line mbili na kuna
wakati nataka kutumia line flani kwa
internet inagoma. Msaada wanajukwaa
 
Simu yako hujaset Access Point Name (APN) za mitandao husika, kumbuka kila mtandao una APN zake zinazokusaidia kujiunga na Internet, hivyo basi simu yako ina APN za voda tu za line nyingine huja set. Tafuta namna ya kuset hizo APN.
 
Simu yako hujaset Access Point Name (APN) za mitandao husika, kumbuka kila mtandao una APN zake zinazokusaidia kujiunga na Internet, hivyo basi simu yako ina APN za voda tu za line nyingine huja set. Tafuta namna ya kuset hizo APN.

naziset vipi mkuu maana hapa naona kuna msaada
 
Nenda kwenye settings za simu yako then mobile network, then access point name then unachagua hiyo line na kuset APN ya mtandao husika, ukishindwa piga customer care wakutumie settings
 
kwenye hii simu yangu napata shida kuhusu internet. nikitaka kutumia internet kwa line ya voda inakubali. nikiswitch kwenda halotel airtel inagoma kabisa. simu inatumia line mbili na kuna wakati nataka kutumia line flani kwa internet inagoma. Msaada wanajukwaa

Unatumia aina gani ya simu?
 
Katika phone yako nenda kwenye setting tafuta sehemu imeandikwa network ifungue then tafuta sehemu imeandikwa APN ifungue afu palipo andikwa name jaza halotel, then sehemu palipo andikwa APN jaza v_Internet afu kwenye MNC jaza 09 afu save. Hapo itakua tayari tatzo limeisha
 
Fuata steps hiz kuset APN.(HALOTEL)
1.nenda setting then mobile network
2.chagua "Access point names"
3.then New APN, hpo edit APN
4. name =Halotel
5. APN= b-internet
then save!
Hapo tayari.
 
Fuata steps hiz kuset APN.(HALOTEL)
1.nenda setting then mobile network
2.chagua "Access point names"
3.then New APN, hpo edit APN
4. name =Halotel
5. APN= b-internet
then save!
Hapo tayari.

Hii namba tano umenifungua maana nilikuwa naandika internet sipati network sasa nimefahamu wapi kulikuwa na tatizo. Kwahiyo napaswa kuandika b-internet as APN
 
Katika phone yako nenda kwenye setting tafuta sehemu imeandikwa network ifungue then tafuta sehemu imeandikwa APN ifungue afu palipo andikwa name jaza halotel, then sehemu palipo andikwa APN jaza v_Internet afu kwenye MNC jaza 09 afu save. Hapo itakua tayari tatzo limeisha

nimejaribu ila naona kale kaalama E au G kanapotea na inashindwa kuaccess internet. please mkuu naomba nikusumbue tena ili nijikwamue
 
tuma neno CONFIG kwenda 15503 (halotel) utapata configuration za internet automatically then password utajaza 1111
 
Asanteni nyote. Nimefanikiwa. Kweli jamiiforums ji darasa
 
naomba kueleweshwa je nawezaje
kufungua video za youtube bila kuambiwa
SERVER PROBLEM au sijui problem in
server?
kuhusu ku-convert videeo ya youtube
kuwa mp3 kuna app inahusika?
vile vile kwa midi na mp4 tusaidiane vipi
naweza ku-convert
 
Back
Top Bottom