Mwenye ushuhuda kuhusu NMB bonus account

Mwenye ushuhuda kuhusu NMB bonus account

Habari wakuu:

Nataka kuweka pesa benki Tsh Milioni 40 wanadai wanatoa riba ya aslimilia 1.5 baada ya miezi 3 je ni kweli? Kuna mwenye ushuhuda wa hili?
inamaana members wa JF wote hakuna mwenye hii account ya bonus aje kutoa comfimation hapa

CC. NMB Tanzania
 
Habari wakuu:

Nataka kuweka pesa benki Tsh Milioni 40 wanadai wanatoa riba ya aslimilia 1.5 baada ya miezi 3 je ni kweli? Kuna mwenye ushuhuda wa hili?
uelewa wangu ni kwamba hiyo riba ni kwa mwaka. Kwa hiyo kwa miezi mitatu, inabidi uigawanye hiyo riba kwa nne. So asilimia kwa miezi mitatu ni kama 0.375% ya pesa uliyoweka. Tuwe makini. Hizi riba huwa zinatajwa kwa mwaka (12 months interest rate). So ukitaka kujua riba kwa mwezi/miezi kadhaa, unabidi kugawanya ile ya mwaka.
 
uelewa wangu ni kwamba hiyo riba ni kwa mwaka. Kwa hiyo kwa miezi mitatu, inabidi uigawanye hiyo riba kwa nne. So asilimia kwa miezi mitatu ni kama 0.375% ya pesa uliyoweka. Tuwe makini. Hizi riba huwa zinatajwa kwa mwaka (12 months interest rate). So ukitaka kujua riba kwa mwezi/miezi kadhaa, unabidi kugawanya ile ya mwaka.
hawa jamaa waongo waongo sana bank huwa hawasemagi ukweli ukishaingia ndani ndo unajua kwamba walikulisha chai

hasa kwenye mikopo wanapiga sana watu bla bla ila ukishachukua mkopo unakutana na hadi ongezeko la riba kwenye mkopo

unakuta mtu amekopa milion 15 unakuja kuta analipa milion 30
 
uelewa wangu ni kwamba hiyo riba ni kwa mwaka. Kwa hiyo kwa miezi mitatu, inabidi uigawanye hiyo riba kwa nne. So asilimia kwa miezi mitatu ni kama 0.375% ya pesa uliyoweka. Tuwe makini. Hizi riba huwa zinatajwa kwa mwaka (12 months interest rate). So ukitaka kujua riba kwa mwezi/miezi kadhaa, unabidi kugawanya ile ya mwaka.
Yani niweke milion40 alf ndani ya kipindi cha mwaka wanipe asilimia 1.5 kwa mwaka weee naenda kuwashtakiii
 
uelewa wangu ni kwamba hiyo riba ni kwa mwaka. Kwa hiyo kwa miezi mitatu, inabidi uigawanye hiyo riba kwa nne. So asilimia kwa miezi mitatu ni kama 0.375% ya pesa uliyoweka. Tuwe makini. Hizi riba huwa zinatajwa kwa mwaka (12 months interest rate). So ukitaka kujua riba kwa mwezi/miezi kadhaa, unabidi kugawanya ile ya mwaka.
milion 40 kwa riba ya 0.375 ni utapelii huuu
 
Back
Top Bottom