Yani 40m utafute faida ya laki 6 kwa miezi mitatu? Laki 2 kila mwezi?Habari wakuu:
Nataka kuweka pesa benki Tsh Milioni 40 wanadai wanatoa riba ya aslimilia 1.5 baada ya miezi 3 je ni kweli? Kuna mwenye ushuhuda wa hili?
Weka UTT liquid, wanatoa kwa wastani 1.1 percent kwa mwezi. Kuna 10m niliweka kule napata ongezeko la laki na ushee kila mwezi.Habari wakuu:
Nataka kuweka pesa benki Tsh Milioni 40 wanadai wanatoa riba ya aslimilia 1.5 baada ya miezi 3 je ni kweli? Kuna mwenye ushuhuda wa hili?
Me sijui mkuu mimi nilitaka kusave tu wala sijawai kudraw naweka tuna vp kuhusu riba wanatoa kama kwenye chart walivyoandikaView attachment 2236551
Ushauri mzuri huu UTT ndio mpango mzimaMkuu, 40 million ikopeshe Serikali!. Nunua hatifungani za Serikali za miaka 7 au 10 uwe unapata gawio kila baada ya miezi sita ... Au waone UTT - Amis wakusaidie kuziweka kwenye mfuko wao wa Bond. Hutojuta kamwe.
Hajui biashara huyo ...Mimi m1 nikizungusha kwny miamala napata laki2 kwa mwezi vip mwenye m40...Yani 40m utafute faida ya laki 6 kwa miezi mitatu? Laki 2 kila mwezi?
Naomba utujuze unazungushaje 1,000,000.kwenye miamala? Na kupata faida?Hajui biashara huyo ...Mimi m1 nikizungusha kwny miamala napata laki2 kwa mwezi vip mwenye m40...
Ipo hivi Kama una laini nne angalia active line tu...kwa nilipo Mimi Airtel na tigo tu ndio zinafanya kazi kwa Sana..kwahyo nachukua 400k naweka Airtel flot na 300k naweka tigo flot..halopesa na mpesa hazina faida Sana ...Naomba utujuze unazungushaje 1,000,000.kwenye miamala? Na kupata faida?
Kwahiyo itabidi uombe uwakala ? Au unafanya vipi?Ipo hivi Kama una laini nne angalia active line tu...kwa nilipo Mimi Airtel na tigo tu ndio zinafanya kazi kwa Sana..kwahyo nachukua 400k naweka Airtel flot na 300k naweka tigo flot..halopesa na mpesa hazina faida Sana ...
Hakikisha flot haikatiki kwsbb wateja wengi siku hizi Ni vijana was kubet..zingatia kuweka flot kwa wakati ...km upo karib na wakala mkuu
Ipo hivi Kama una laini nne angalia active line tu...kwa nilipo Mimi Airtel na tigo tu ndio zinafanya kazi kwa Sana..kwahyo nachukua 400k naweka Airtel flot na 300k naweka tigo flot..halopesa na mpesa hazina faida Sana ...Naomba utujuze unazungushaje 1,000,000.kwenye miamala? Na kupata faida?
Hpn wewe jitahidi uwepo wa flot tu..km utaomba uwakala Ni fresh zaidi...Kwahiyo itabidi uombe uwakala ? Au unafanya vipi?