TRACEY INNO
Member
- Mar 14, 2014
- 31
- 7
Jamani hawa wajapani mbona sasa sielewi? Walisema kabla ya tarehe 28/3 tutukuwa tumejua mchakato mzima. Mimi naona siku zinasonga, watu wanagonga usaili pale ni wa nini? Mbona kizungumkuti.
Help...:loco:
Help...:loco: