colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,895
Habar wakuu ...kama kichwa cha habar hapo juu
Namuomba yeyote mwenye ujuzi juu ya cryptocurrency ajitokeze kuna kitu aniseidie kutatua
Iko hivi nili meet na manzi mmoja kwenye social network akaniambia kuhus habar za digital currency ila mm sina ujuzi juu ya hii kitu so nikamuambia sipo intrested...
Yeye akaniambia nifungue tu account ata deposit kwenye account yangu....some money so that we can trade...kweli after a while
Nimecheki account kasha deposit 10000 usdt
Je...hii kitu inaweza kua real or scammer...na kama real njoo uniseidie...tuzi transer into cash faster kabla ...hajazi lock ...
Mnakaribishwa .....wenye ujuzi..ukijiona hauna ujuzi au janja janja nying sio sahem sahihi kwako....cause utanikuta mm mjanja zaidi yako.
Namuomba yeyote mwenye ujuzi juu ya cryptocurrency ajitokeze kuna kitu aniseidie kutatua
Iko hivi nili meet na manzi mmoja kwenye social network akaniambia kuhus habar za digital currency ila mm sina ujuzi juu ya hii kitu so nikamuambia sipo intrested...
Yeye akaniambia nifungue tu account ata deposit kwenye account yangu....some money so that we can trade...kweli after a while
Nimecheki account kasha deposit 10000 usdt
Je...hii kitu inaweza kua real or scammer...na kama real njoo uniseidie...tuzi transer into cash faster kabla ...hajazi lock ...
Mnakaribishwa .....wenye ujuzi..ukijiona hauna ujuzi au janja janja nying sio sahem sahihi kwako....cause utanikuta mm mjanja zaidi yako.