Mwenye ufahamu jinsi ya kuhamisha mkopo

alexmahone

JF-Expert Member
Apr 8, 2011
482
405
Ndg yng amepata vyuo viwili st joseph songea course ni computer with education alichaguliwa na tcu.,pia amepata mzumbe course ni belm aliomba directly..mkopo umeelekezwa st joseph.,yy anataka kuupeleka mzumbe ili akasome huko..
Je ni hatua gani achukue..?
 
Ndg yng amepata vyuo viwili st joseph songea course ni computer with education alichaguliwa na tcu.,pia amepata mzumbe course ni belm aliomba directly..mkopo umeelekezwa st joseph.,yy anataka kuupeleka mzumbe ili akasome huko..
Je ni hatua gani achukue..?
wasiliana na bodi ya mikopo issue inatatulika
afatilie admission zake mzumbe kwa ajili ya kujiunga na chuo
nafikiri vyuoni huwa kuna msaada mkubwa sana hasa kupitia serikali ya wanafunzi huwa kuna wizara ya mikopo ambay inadili na issue kama hizi
 
Back
Top Bottom