Mwenye uelewa na simu za mikopo

Mwenye uelewa na simu za mikopo

Wote humu JF hakuna mwenye maarifa au kumjua mwenye maarifa hayo?
 
Nenda na namba ya nida pale vodashop au Yas ,ukiwa na kianzio kulingana na simu utakayoitaka, kianzio elfu 30 na zaidi.Malipo vile vile ni kulingana na simu uliyochukua, Kuna malipo ya buku kila siku au zaidi.
 
Nenda na namba ya nida pale vodashop au Yas ,ukiwa na kianzio kulingana na simu utakayoitaka, kianzio elfu 30 na zaidi.Malipo vile vile ni kulingana na simu uliyochukua, Kuna malipo ya buku kila siku au zaidi.
Anataka yeye ndio awe mkopeshaji
 
Ni utapeli kama utapeli mwingine tu, simu ya bei ndogo wewe unalipia bei kubwa ni bora nikope mtaji kuliko simu.
Neon ultra unalipia 30,000/= kila siku 1000 kwa mwezi @1= 28,000
Kwa mwaka 28,000@12=336,000/= + 30,000 ya kianzio = 366,000/=
Hio hela sibora nikanunua Samsung yangu
 
Hizi simu za mkopo hutolewa kwa mhusika au mkopaji mwenye kadi/kitambulisho chake binafsi cha NIDA,leseni ya udereva au kitambulisho cha kura. Masharti ya simu ya mkopo ni kuwa uwe na kiasi fulani cha kulipia mwanzoni walau asilimia 15- 25 kutegemeana na bei ya simu, muuzaji au masharti ya supplier hasa Simu nyingii za SAMSUNG wana bei zao fixed.Sijui kwa sasa. Malipo ya mkopo ni siku,wiki,mwezi, miezi 3,6 au 12 na si zaidi. Utaratibu wa malipo mtawekeana na mkopeshaji lakini huwa wanapendelea kulipia kwa njia ya mitandao ya simu Yas, M pesa nk na simu yako itakuwa blocked usipolipa na wanaitrack kama utaleta usumbufu.Mtasaini mkataba na utachukuliwa picha ukiwa na simu yako ya mkopo pamoja na alama za vidole kwa ushahidi zaidi. Kwa kufupi riba ipo ila hawatasema ila unajiongeza. Ni hayo tu.
 
Nenda na namba ya nida pale vodashop au Yas ,ukiwa na kianzio kulingana na simu utakayoitaka, kianzio elfu 30 na zaidi.Malipo vile vile ni kulingana na simu uliyochukua, Kuna malipo ya buku kila siku au zaidi.
Anataka kufanya biashara ya kukopesha simu na siyo kukopeshwa yeye.
 
We jamaa mbona kama una lengo la kuwaibia wa tz wenzako kudadadeki 😁😁😁
 
Back
Top Bottom