Samahani kwa usumbufu kwa mwenye uelewa na hili mimi jina langu la kwenye vyeti na NIDA linatofautiana kidogo kwenye vyeti linasomeka ALY ABDALLAH KIDABI na kwenye nida inasomeka ALY ABDALAH KIDABI.
Je, inaweza kupelekea kukosa mkopo?
Je, nikiapa mahakamani kwenye kuomba mkopo kuna sehemu ya kuaproad kiapo?
Natanguliza shukrani.
Je, inaweza kupelekea kukosa mkopo?
Je, nikiapa mahakamani kwenye kuomba mkopo kuna sehemu ya kuaproad kiapo?
Natanguliza shukrani.