thank brohongera sana..
kwa kuwa uko department ya geology basi shaka ondoa..cha msingi ukaze tu..
walimu wako poa sana pale japo kuna wazinguaji wachache lkn hiyo ni changamoto...
kaza sana sasa ivi GPA ndo mtaji dogo..
karbu ktk tasnia ya geology..
Sua ndo inafuata baada ya udsm, usichanganye MamboHiyoo nzuri kaka na udsm pako poa elimu bora na ni chuo kinachofuatia kwa ubora kutoka sua