Neo_Trapper
Member
- Sep 21, 2021
- 27
- 39
Habari zenu wanajukwaa hili?
Bila shaka hamjambo?
Aise naomba niende straight kwenye point mimi ni kijana wa kiume mkazi wa Shinyanga.
Nilimaliza kidato cha nne mwaka jana na kwa bahati nzuri nilipita kwenye chujio na point 15, nikawa nimechaguliwa pale MWANALUGALI SEC SCHOOL shule ipo KIBAHA TC- PWANI na ina michepuo miwili tu yaani HGL na PCM sasa mimi nimechaguliwa PCM.
Naombeni usaidizi wa taarifa kuhusu ueledi wa shule hiyo kwa waliowahi kusome hapo na kama kuna mwanafunzi amechaguliwa hapo tufahamie please.
Ahsanteni.
Bila shaka hamjambo?
Aise naomba niende straight kwenye point mimi ni kijana wa kiume mkazi wa Shinyanga.
Nilimaliza kidato cha nne mwaka jana na kwa bahati nzuri nilipita kwenye chujio na point 15, nikawa nimechaguliwa pale MWANALUGALI SEC SCHOOL shule ipo KIBAHA TC- PWANI na ina michepuo miwili tu yaani HGL na PCM sasa mimi nimechaguliwa PCM.
Naombeni usaidizi wa taarifa kuhusu ueledi wa shule hiyo kwa waliowahi kusome hapo na kama kuna mwanafunzi amechaguliwa hapo tufahamie please.
Ahsanteni.