Kuna taarifa nmeckia kuhusu mwanamuziki huyu kutoka Nigeria but not confirmed, ni kweli amefariki?
Good, amekataa, ameibuka some minutes ago na kusema yuko ok, na hizo rumours ni nonsense, teh, teh, teh
Na we nawe unajisikia Ku-post ama Niajee ?..kama umeweza ingia humu umeshindwaje ingia Google ukapata Habari unazotaka.
Sent from my BlackBerry Porsche using JamiiForums