Daaah wazee mi naelekea baharini kuoga eti sjoana jina langu na nili apply ile yenye post 80..majina 841 simo...dah ngoja nkaoge tu maji ya bahar halafu niende nkalime
kwa hiyo,tang'ana una maana custom support zile post 6, ndo wameshortlist watu 841? jaman mwenye majina tunaomba atutupie basi maana sisi wengine tupo mkoa, tusaidiane.
kwa hiyo,tang'ana una maana custom support zile post 6, ndo wameshortlist watu 841? jaman mwenye majina tunaomba atutupie basi maana sisi wengine tupo mkoa, tusaidiane.
Kaka gazeti mimi ninalo.. Uliomba customer support au nianze ku snapshot kada gani?
Msijali wadau nitaweka majina yote i hope IPHONE SE haitaniangusha..
Zinachuku muda sana kuload.. LTE ya tigo inazingua na zipo nyingi sana .. Kama mtu ana watsapp anaweza kuni pm namba nimtumie zote at once .. But nitajaribu kuzi upload zote japo sitaweza kuziweka zote kwa leo zitakazobaki nitaweka kesho.. Ila pamoja wadau..
Kaka gazeti mimi ninalo.. Uliomba customer support au nianze ku snapshot kada gani?
Msijali wadau nitaweka majina yote i hope IPHONE SE haitaniangusha..