T TONGINDI Senior Member Nov 23, 2011 174 32 Jul 5, 2014 #1 Tarehe 30/05 mwaka huu tulifanya interview chini ya tume ya utumishi wa mahakama nafasi ya hakimu mkazi kwny kumbi za national stadium. Mpaka leo bado kimya, mwenye updates atujuze because naona wamwmwaga zingine 300.
Tarehe 30/05 mwaka huu tulifanya interview chini ya tume ya utumishi wa mahakama nafasi ya hakimu mkazi kwny kumbi za national stadium. Mpaka leo bado kimya, mwenye updates atujuze because naona wamwmwaga zingine 300.
S Skillionare JF-Expert Member Nov 6, 2011 1,190 523 Jul 5, 2014 #2 halafu nyie interview yenu ilikuwa ina matatizo gani maana walianza kupigia simu wale wenye supp na kuuliza kama wameshamaliza supp zao
halafu nyie interview yenu ilikuwa ina matatizo gani maana walianza kupigia simu wale wenye supp na kuuliza kama wameshamaliza supp zao