Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 837
- 946
Jamani wana JF,
Kuna ndugu zangu wamefanikiwa kuitwa kwenye usaili wa Msaidizi wa ofisi mahakamani katika zile nafasi walizotangaza tume ya utumishi wa mahakama.
Sasa, presha ni juu ya maswali gani yanaweza kuwepo kwenye usaili
Kama kuna yeyote anafahamu questions za sehemu hiyo aniwekee hapa.
Wakapambanie interview.
Kuna ndugu zangu wamefanikiwa kuitwa kwenye usaili wa Msaidizi wa ofisi mahakamani katika zile nafasi walizotangaza tume ya utumishi wa mahakama.
Sasa, presha ni juu ya maswali gani yanaweza kuwepo kwenye usaili
Kama kuna yeyote anafahamu questions za sehemu hiyo aniwekee hapa.
Wakapambanie interview.