Mwenye taarifa rasmi juu ya majina ya sensa tafadhali

Mwenye taarifa rasmi juu ya majina ya sensa tafadhali

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,180
Hivi kweli majina yametumwa halmashauri nachoamini huu mtandao hakuna habari fake fake werevu naombeni majibu sahihi kozi niko mbali na halmashauri niliyoombea nimesafiri dah
 
We si ndo Mzee wa kusawazisha,, sawazisha basi tujue ukweli.. Binafsi Niko njombe na Nina jamaa zangu wapo Halmashauri moja hapa hizo habari sijazipata kabisa
 
Back
Top Bottom