Mwenye Sheria ya Barabara 2007

Mpui Lyazumbi

JF-Expert Member
Sep 1, 2010
1,856
371
Wakuu wanajamvi, nawaombeni kwa dhati ya moyo wangu niwekeeni hapa softcopy ya sheria namba 17 ya mwaka 2007 ya barabara - The Tanzania Road act #17 of 2007. Nimeitafuta maeneo mengi na sijaipata hatimaye nimeona nije hapa kuomba msaada. Natanguliza shukrani hasa nikiweza kui download,
 
nenda kwenye website ya bunge kajipakulie.Ziko sheria nyingi tu.
 
pcman, ntapita tena kuangalia. Ukinisoma vizuri nasema nimepita maeneo mengi sana. Nisaidieni tafadhali.
 
Jamani nimemsikia rais leo akiwaambia wana ubungo kimara waliovunjiwa nyumba zao kuwa hawatalipwa chochote kwani walivunjia kihalali.
Naomba mwenye kujua hiyo sheria atuwekee hapa
 
Back
Top Bottom