Salaam waungwana . Nina ndugu yangu anataka kwenda kuomba law school pale mawasiliano ila mwanzo alisoma Bachelor ya Law Enforcement na amesoma PostGraduate Diploma in Law.. je wanaweza mpokea akasomaa??
Swali ni je wenye Postgraduate Diploma in Law Wanapokelewa pale law school?
Swali ni je wenye Postgraduate Diploma in Law Wanapokelewa pale law school?