cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 649
Mkuu fanya utafiti kabla ya kuandika vitu ukapotosha umma,,alokwambia Mzumbe hawasomi core course 16 zote zilizoorodheshwa law school ni nani? core course zote 16 Mzumbe wanasoma na mpaka sasa wapo waloingia cohort ya 23 na hawapaswi kusoma hizo core course upya.
Wewe pia muongo lst unaanza moja hakuna unachoacha hata kama ulisoma huko kwenu mzumbe plus social works,cheza mbali na lst,darasa moja student 500 mwl mmoja !!!!