ESPIRIT
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 665
- 524
Msaada wenu wanasheria, huyu baba mwenye nyumba tuliyopanga kaiuza, tumeenda kwa mjumbe, bado hata haitikii wito wa mwenyekiti. Huyu aliyenunua hataki kutuona wapangaji ifikapo tarehe mosi. Na mimi kwa mfano nilikuw nmelipa kodi hadi September. Je, ndugu zangu wanasheria, mimi sijui sharia. Je nichukue hatua gani nyingine