MSHALE KIUNONI
Member
- Aug 6, 2014
- 89
- 14
Pm me
JINA LICKUTATIZE, kla mtu na jina lake na yote yanafaa 100% anaeangalia jina huyo siyo muolewaji hapo upo Neylu
Mkuuu kwan ukui ku quote
Hujasomeka mkuu! did u mean hujui?
Haya wale weupe fursa hii
Mkuu upo poa wewe?
wenye nia bila malengo mnaitwa..
willing but not able vs able but not willing...
mnaitwa huku!
Mie bukheri wa afya ati
sifa ni lazma mkuu! mweupe kidogo, umbo asiwe 1 bali 8, awe mcha MUNGU, awe hajazaa, asiwe bonge wala mrefu xana.
Mwanamke mwenye nia ya kuolewa na mwenye miaka isiyozidi 32 pls aniPM niko serious natafuta mchumba NNA MIAKA 35