mwenebhukabo
Member
- Mar 2, 2014
- 24
- 9
Habarini wadau.
Naamini humu ndani kuna watu wenye ndoto mbalimbali,ila kubwa ni kwa wale wenye ndoto za "public speaking" uandaaji wa mikutano , mafunzo na mengine kama hayo.
Licha ya hivyo pia kuwa na uwezo wa kufanya hivyo kwani haiishii kwenye ndoto pekee.
Mimi ni mmoja wa watu wenye ndoto hiyo japo hivi sasa ni muajiriwa toka kwenye shirika fulani lisilokjwa la kiserikali na nafanya kazi inayofanana na hiyo kwa maana nilipenda kujikuza kwa upande huo.
Kwa kipindi sasa nimekua na harakati ambazo zililenga kufanya hii shughuli katika upana wake ila sikuweza kulingana na mazingira haya niliopo.
Changamoto si mtaji hapa,kwani shughuli hii mtaji wake mkubwa ni watu (good minded) wanaoweza kukaa na kulifuma.
Kama kuna mtu au watu ambao wangependa kujumuika nami katika hili basi wani-DM tujadili.
Kumbuka kwa kuanzia mimi napatikana DODOMA na nategemea kabisa vijana wa Dodoma ambao wanaliona hili kama fursa wanaweza ungana nami.
Asanteni.
Naamini humu ndani kuna watu wenye ndoto mbalimbali,ila kubwa ni kwa wale wenye ndoto za "public speaking" uandaaji wa mikutano , mafunzo na mengine kama hayo.
Licha ya hivyo pia kuwa na uwezo wa kufanya hivyo kwani haiishii kwenye ndoto pekee.
Mimi ni mmoja wa watu wenye ndoto hiyo japo hivi sasa ni muajiriwa toka kwenye shirika fulani lisilokjwa la kiserikali na nafanya kazi inayofanana na hiyo kwa maana nilipenda kujikuza kwa upande huo.
Kwa kipindi sasa nimekua na harakati ambazo zililenga kufanya hii shughuli katika upana wake ila sikuweza kulingana na mazingira haya niliopo.
Changamoto si mtaji hapa,kwani shughuli hii mtaji wake mkubwa ni watu (good minded) wanaoweza kukaa na kulifuma.
Kama kuna mtu au watu ambao wangependa kujumuika nami katika hili basi wani-DM tujadili.
Kumbuka kwa kuanzia mimi napatikana DODOMA na nategemea kabisa vijana wa Dodoma ambao wanaliona hili kama fursa wanaweza ungana nami.
Asanteni.