PAMOJA NA HILO, INAKUWAJE KWA ANAYESTAAFU KWA HIYARI YAANI MIAKA 55. JE CHINI YA MIAKA 55 INAWEZEKANA MTUMISHI WA UMMA AKASTAAFU, VIGEZO NI VIPI?Naomba mwenye waraka wa utumishi kuhusu masuala ya benefits baada ya compulsory retirement (60 yrs) anisaide hapa!
Kukusafirisha wanatumia formula gani wewe, spouse/children/mizigo...kwa ngazi ipi , tonnage etc etc
Chini ya miaka 55 haiwezekani kustaafu. Ila endapo daktari akatia neno kuwa kwa afya yako hutamweza kuendelea na majukumu utapumzishwa na taratibu zingine zitafuata ila hatutakuita mstaafu.PAMOJA NA HILO, INAKUWAJE KWA ANAYESTAAFU KWA HIYARI YAANI MIAKA 55. JE CHINI YA MIAKA 55 INAWEZEKANA MTUMISHI WA UMMA AKASTAAFU, VIGEZO NI VIPI?
General standing order ambayo inatoa madaraja ya mizigo . Say, senior nurse . Kuna mahali mimesoma kuwa mizigo ilipunguzwa kutoka tani 5 to 3...... waraka huo naweza kuupata wapi. My google search could not bear fruits!Nauli ni flat wewe , mwenzi na watoto.
Mizigo itatokana na cheo chako unachostaafia.
Pesa ya kufikia kama kawaida siku saba ambayo pia hesabu au kiwango hutokana na cheo ulichostaafia.
Kama hujaweka wazi vitu vyote tutakupigia vipi hesabu?
Ngoja nipekue nikiuona takutumiaGeneral standing order ambayo inatoa madaraja ya mizigo . Say, senior nurse . Kuna mahali mimesoma kuwa mizigo ilipunguzwa kutoka tani 5 to 3...... waraka huo naweza kuupata wapi. My google search could not bear fruits!
THANKS IN ADVANCENgoja nipekue nikiuona takutumia
Wewe Bwasheee, nimestaafu hujazaliwa! wajukuu na wenye uhitaji nawasaidia wajue haki zaoBwashee karibu Kwenye Ustaafu 😂
bwashee, nilimaliza kuwa UDSM 1986! mpaka leo kweli niwe kwenye utumishi wa Umma?Bwashee karibu Kwenye Ustaafu 😂
Mm nimestaafu mwaka 1961. Halafu nusu ya hela ya mafao yangu nikampatia mawalimu Nyerere ndo akaitumia kujenga soko la Kariakoo.bwashee, nilimaliza kuwa UDSM 1986! mpaka leo kweli niwe kwenye utumishi wa Umma?