Sir M.D.Andrew
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 201
- 37
Kuna tatizo limejitokeza katika shirika moja la serikali,ni ufisadi uliokubuhu,napenda kutumia jukwaa hili kuomba msaada kwa yule mwenye mawasiliano ya vyombo huru vya habari namba za simu,email n.k anisaidie ili uozo huu tuuibue,magazeti,radio tv,ila isiwe TBC