Kabla ya kurusha post uwe na tabia ya kupitia topiki zilizowekwa. Mbona majina yapo tangu asubuhi? Nenda jukwaa la siasa utayaona ktk pdf unayotaka.Mwenye majina ya waliopitishwa kugombea nyadhifa mbalimbali kama Mwenyekiti wa Mkoa/Wilaya wa CCM, mwenezi, Uchumi na fedha, NEC n.k naomba atuwekee ili tuweze kuona vizuri.
View attachment 66218