Mwenye kujua salary scale PCCB anisaidie!!!

Mwenye kujua salary scale PCCB anisaidie!!!

dhumuni langu la kusoma ni kutafuta pesa samahani hayo mengine yakwako.Tena kama una njaa katafute msosi ule we baba koma .Nchi ibadili wewe mimi natafuta pesa

hahaha loh!! Maneno yako tuu! Et mabadiliko wabunge wenyewe hawaonesh mfano 2takuwa siye?? tafuta pesa mwaya ndo mpango mzmaaaa!!
 
Mmh!! Kuna cousin yangu kani sii ni ombe uko
Anaweza kunifanyia mchongo
Ila mambo ya kumkabidhi mfupa fisi nambwela kwel kwel,,hehehe ngoja niendelee kunyevua uku uku
 
kuna mijitu inajishaua sana humu wakati yenyewe yananepeana tu huko maofisini hayana lolote zaidi ya kudai per diem afu huku yanajidai kutoa povu.Mwenye uchungu na nchi Nyerere peke yake wengine wote tuliobakia tunatafuta pesa.We Fugwe umesikia?

Jina lako nimekata
 
Last edited by a moderator:
Amu, mimi na nyerere tu ndo tuna uchungu na hii nchi..sema mi napenda na hela pia.
 
Nyangumi wanakamatwa na wakubwa sio wewe ulieajiriwa kesho tu, na pia uende kutumikia nchi maslahi yawe mengineyo
 
Back
Top Bottom