Mwenye kujua sababu!

Mwenye kujua sababu!

kiparah

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2010
Posts
1,173
Reaction score
117
Nimefanya kautafiti kangu kasiko rasmi, nimegundua na kujiridhisha kwamba, mtu wa Muarobaini nyoka hakai na hata wadudu wengi huwezi kuwakuta. Kautafiti haka nimekafanya kwa kuuchunguza sana mti wa Muarobaini uliopo nyumbani.

Kwanini nyoka na wadudu wengi wanaugwaya mti huu?
Asili ya mtu huu ni wapi? (Afrika,Ulaya, Amerika, Asia au kwingineko?)
Kwanini uaitwa Muaraooaini?
 
Mkuu muarobani una nyoka tena wale wa kijani .......pia mi narafiki Yangu tulidondokewa na nyoka wakati wa mchana tukiwa tunapunga upepo ......so nyoka wapo
 
Ngoja na mimi nianze kufuatilia, naanza utafiti sasa
 
Mkuu muarobani una nyoka tena wale wa kijani .......pia mi narafiki Yangu tulidondokewa na nyoka wakati wa mchana tukiwa tunapunga upepo ......so nyoka wapo

kweli mkuu mm niliwahi kumua nyoka wa kijani aliyekuwa ndani ya mti tajwa
 
Hata mimi nilikuwa nimekaa sehemu kuna baa na nje kuna huo mti,akadondoka nyoka wa kijani.So si kweli kwamba huo mti wadudu au nyoka hawakai.
 
Back
Top Bottom