MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,737
- 6,642
Humu ndani kumezuka tabia ya baadhi ya watu kujiita "wakili msomi" na wengi wao wameenda mbali zaidi na kuunga mkono hukumu za kesi kadhaa enzi za 5G ila cha ajabu rufani za kesi hizo zinaposikilizwa huangukia pua kwa aibu kubwa. Je, yawezekana kuwa hawa walifaulu kwa kutumia vibuti a.k.a "Juche"???
Nilikuwa napitia huu uzi wa Petro E. Mselewa anae jiita wakili msomi nikapigwa na butwaa kidogo baada ya kuona kina Mbowe wameonekana hawana hatia na warudishiwe fedha zao ila huyu wakili alimuunga bwana simba mkono kabisa
Anaejua CV yake sio mbaya akashea na sisi
Pia, soma:
- Honestly, Hakimu Mkuu Simba amekuwa 'fair' sana kwa Mhe. Mbowe na wenzake
- Asante sana Mkuu MKANDAHARI, hii ni CV yangu kwa kifupi
Nilikuwa napitia huu uzi wa Petro E. Mselewa anae jiita wakili msomi nikapigwa na butwaa kidogo baada ya kuona kina Mbowe wameonekana hawana hatia na warudishiwe fedha zao ila huyu wakili alimuunga bwana simba mkono kabisa
Anaejua CV yake sio mbaya akashea na sisi
Pia, soma:
- Honestly, Hakimu Mkuu Simba amekuwa 'fair' sana kwa Mhe. Mbowe na wenzake
- Asante sana Mkuu MKANDAHARI, hii ni CV yangu kwa kifupi
