Mwenye kujua CV ya Petro E. Mselewa

Mwenye kujua CV ya Petro E. Mselewa

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
5,737
Reaction score
6,642
Humu ndani kumezuka tabia ya baadhi ya watu kujiita "wakili msomi" na wengi wao wameenda mbali zaidi na kuunga mkono hukumu za kesi kadhaa enzi za 5G ila cha ajabu rufani za kesi hizo zinaposikilizwa huangukia pua kwa aibu kubwa. Je, yawezekana kuwa hawa walifaulu kwa kutumia vibuti a.k.a "Juche"???

Nilikuwa napitia huu uzi wa Petro E. Mselewa anae jiita wakili msomi nikapigwa na butwaa kidogo baada ya kuona kina Mbowe wameonekana hawana hatia na warudishiwe fedha zao ila huyu wakili alimuunga bwana simba mkono kabisa

Anaejua CV yake sio mbaya akashea na sisi

Pia, soma:

- Honestly, Hakimu Mkuu Simba amekuwa 'fair' sana kwa Mhe. Mbowe na wenzake

- Asante sana Mkuu MKANDAHARI, hii ni CV yangu kwa kifupi
 
Kuna kipindi huyu jamaa alinipa ushauri kuhusu Jambo fulani ambalo liniweka njia panda na nilikuwa naelekea kufanya maamuzi ambayo yangeniletea majuto baadae.
Asante sana wakili Petro E. Mselewa

mengine ya kisiasa nawaachia
 
Kuna kipindi huyu jamaa alinipa ushauri kuhusu Jambo fulani ambalo liniweka njia panda na nilikuwa naelekea kufanya maamuzi ambayo yangeniletea majuto baadae.
Asante sana wakili Petro E. Mselewa

mengine ya kisiasa nawaachia
Pole sana, nimekuwa nikimsoma sana humu ila nilikuwa mara nyingi natilia shaka uwezo wake.
 
Back
Top Bottom