Aisee maana nimeona anauza hadi 1.4 million nkaogopa(1) Izo dirty bikes boss sio street. Hazina ata side mirrors. Utagombana na traffics.
(2) Itategemeana na brand. KTM Honda etc bei used nyingi ni 5M hadi 7 kutokana na condition na power.
(3) Hiyo ID ya Pikipiki za Mitunda Instagram ni Mwizi uyo usijichanganye.
Ya muundo upi boss.je hizi za kichina bei inasimamaje mkuu
Hivi XR 250L na XR 650L bei zake zikoje mkuu?(1) Izo dirty bikes boss sio street. Hazina ata side mirrors. Utagombana na traffics.
(2) Itategemeana na brand. KTM Honda etc bei used nyingi ni 5M hadi 7 kutokana na condition na power.
(3) Hiyo ID ya Pikipiki za Mitunda Instagram ni Mwizi uyo usijichanganye.
Dah sipo vizuri sana boss ila kuna 250L moja niliona inauzwa Mil 6 sasa si unajua used ina vitu vingi vya kuzingatia.Hivi XR 250L na XR 650L bei zake zikoje mkuu?
Dirty za kichina sijaona man.muundo huohuo mkuu lakini iwe za kichina si zinapatikana
kama hii si 12 million hukoChuma ipo Frankfurt hiyo ni wewe kuirusha huku kwa mkoloni mweusi mkuuView attachment 1685083
Uoga wako tu mkuukama hii si 12 million huko
Mkuu nakuhakikishia jichange ukifika 6m utapata mashine CBR zipo nyingi tu hapa hapa bongo uwe makini wasikupigendio kwanza nimeripoti kazini hata mwezi hujaisha naanza kutafuta mkuu hiyo 12 si mchezo ukizingatia ndio nipo kwenye ajira
Za kichina ni tatizo bike zao hazina power.muundo huohuo mkuu lakini iwe za kichina si zinapatikana
Huko Honda CB400 Super Four zinacheza Bei gani.Chuma ipo Frankfurt hiyo ni wewe kuirusha huku kwa mkoloni mweusi mkuuView attachment 1685083
Bado unahitaji super four?Huko Honda CB400 Super Four zinacheza Bei gani.