Mwenye kujua bei ya hiki kifaa

Mwenye kujua bei ya hiki kifaa

Sikushauri otherways uwe mahali ambapo umeme sio wa kuwaza waza.

Lakini huu umeme wetu wa elfu hamsini utaenda kulifanya kabati.

Jipange mpaka 450 ukachukue lenye gesi na umeme.liko poa sana.
Naam...gas ndio mpango mzima.
 
Ndio mkuu ila ningependa kujua kwanza ikiwa mpya bei gan
Mkuu brands nazo zinabei tofauti kuna westpoint za mchina pia ila kwa electric plates zote kama hizo inaanzia laki 4.5 na kuendelea kuendana na brand ila hizi za umeme kwa sasa hazina soko kabisaa ni hasara tupu hivyo hapo unaweza kumdengulia sana sababu saivi watu wanataka zinazotumia gas kupikia.
 
Ovener inatumika kutengeneza nini?
Ovener ni nini?

oven-with-food.jpg
 
Back
Top Bottom