We lea mtoto kitanda hakizai halamu,hayo ni makusud unaweza kataaa mtoto kume ndo jiniazi kwa badae akasidia mpaka wtt wko wa damu kabisa mda mwngne unachanganya bongo,fanya risearch uone weng majiniazi unakuta wpo nje ya nchi waga ni wamichepuko toka nje ya ndoa mzee,hapa nilipo mi nimefanya risearch kati ya ndoa kumi nane michepuko na unakuta yapo nje urusa,marekani,......so unachotakiwa ni heshima tu mzeee haya mengne achana nayo, mke kufanya hivyo kuna chanzo jamani tufike sehemu tujue hakuna kitu kinafanyika hp chin ya hua bila chanzo,jiulize ww unataka kuchepuka kw nini unataka kuchepuka?inaman hapo wfe/mme kakuzingua kitu au umeumizwa na kitu so no act wthout source mjomba