goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 1,021
- 1,268
Natamani kuinunua hii gari kwa mishe zangu za hapa na pale.
Unfortunately mimi si mjuzi kwa kina wa magari.
Ningependa kutambua uwezo wa ulaji mafuta, uimara wake, upatikanaji wa vipuli ikiwa ni gharama ya vipuli hivyo kama ni himilivu kwa mtanzania wa kipato cha kati hapa nyumbani tz na mambo mengine muhimu utakayoona yanafaa kunishauri
Unfortunately mimi si mjuzi kwa kina wa magari.
Ningependa kutambua uwezo wa ulaji mafuta, uimara wake, upatikanaji wa vipuli ikiwa ni gharama ya vipuli hivyo kama ni himilivu kwa mtanzania wa kipato cha kati hapa nyumbani tz na mambo mengine muhimu utakayoona yanafaa kunishauri