Duh mkuu umenipa kazi maana mambo mengine hata ukieleza mbele ya watu watakuona mwehu tu labda tu nikuambie mimi nipo Kigoma na dunia hii inaendeshwa kwa uongo 99% muhusika mkuu GAVIN DORAN huyu ni shetani kichwa haifai kabla hujaongea kashajua unachotaka kuongea na ukimuuliza kajuaje anakupa sababu ebwana huyu hata kama nikuigiza hapana nahisi atakuwa na mkondo na shetani Marais wa nchi mbalimbali wanaenda Kumsaruti na kuchukua maelekezo mapya sisi huku tumekaa kalagabaho tunashangilia tu hatujui tunapopelekwa na hawa marais wanaandaliwa tangu wadogo bila wao kujijua wakisha maliza kampeni wakati wa kusubiri matokeo ndo wanajulishwa hapo walipofikia wamefikishwaje wanashindwa kukataa kujiunga na hao jamaa kwa hamasa ya urais na madeni ya kampeni IMESHEHENI MAMBO MENGI SANA MENGINE YA KIROHO HADI MDA MWINGINE NAKUWA SIOGOPI KUFA NAONA KAMA NI KUBADILI TU MAZINGIRA HATARI SANA NILISHAJITAHIDI KUJIRUDISHA KWENYE FIKRA ZANGU ZA ZAMANI NILISHASHINDWA MKUU NISAMEHE TU NIMESHINDWA HATA KUELEZA CHOCHOTE.