Mwenye kufahamu kampuni nzuri ya clearing & forwarding (imports)

Mwenye kufahamu kampuni nzuri ya clearing & forwarding (imports)

sele255

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
205
Reaction score
262
Habari,
Mwenye ufahamu na kampuni nzuri ya clearing & forwarding au inayofanya importation services naomba tufahamishane.

Gharama ya usafirishaji kwa kutumia meli ni sh ngapi? Kwa Mzigo unaotoka Switzerland mpaka Tanzania kwa kilograms (kg)

Naomba kufahamishwa.
 
Habari,
Mwenye ufahamu na kampuni nzuri ya clearing & forwarding au inayofanya importation services naomba tufahamishane.

Gharama ya usafirishaji kwa kutumia meli ni sh ngapi? Kwa Mzigo unaotoka Switzerland mpaka Tanzania kwa kilograms (kg)

Naomba kufahamishwa.
mimi ni clearing & forwarding agent, gharama za usafirishaji (freight charge) inategemea kama mzigo husika unasafirishwa kwenye container (Full container Load) au unasafirishwa kama loose cargo (Less Container Load). Pia gharama hutegemea meli (shipping Line) utakayoitumia.
Wasiliana nami:
S.A Link Traders Ltd,
Samora Avenue/Morogoro Road
2nd floor, Elite City Building
Dar es Salaam.
Mobile: +255 718 866 651
email: info@salink.co.tz
Website: www.salink.co.tz
 
  • Thanks
Reactions: Lee
mimi ni clearing & forwarding agent, gharama za usafirishaji (freight charge) inategemea kama mzigo husika unasafirishwa kwenye container (Full container Load) au unasafirishwa kama loose cargo (Less Container Load). Pia gharama hutegemea meli (shipping Line) utakayoitumia.
Wasiliana nami:
S.A Link Traders Ltd,
Samora Avenue/Morogoro Road
2nd floor, Elite City Building
Dar es Salaam.
Mobile: +255 718 866 651
email: info@salink.co.tz
Website: www.salink.co.tz
Nakucheck pm mkuu
 
mimi ni clearing & forwarding agent, gharama za usafirishaji (freight charge) inategemea kama mzigo husika unasafirishwa kwenye container (Full container Load) au unasafirishwa kama loose cargo (Less Container Load). Pia gharama hutegemea meli (shipping Line) utakayoitumia.
Wasiliana nami:
S.A Link Traders Ltd, Clean Master Adam4adam Mathway
Samora Avenue/Morogoro Road
2nd floor, Elite City Building
Nakucheck pm mkuu
 
Back
Top Bottom